*1,137 acres farm for sale at Msitu wa Mbogo in Arusha*
*Distance* 15 km Kutoka lami na ni 18 km to KIA International Airport
*Location* Shamba limegusa Barabara kuu ya kwenda Mererani
-Shamba limegusa Barabara Mbughuni inayoenda kuweka lami
-Mto Nduruma Seasonal unapita shambani
*Shamba lote limelimwa mazao mbalimbali na sehemu imetumika kufanya ufugaji*
-Shamba limelimwa mazao ya muda mfupi, Mahindi, Alizeti, Mihogo, Maharage, Migomba, Machungwa, Papai, Litches, Miembe, Mboni Kaburi ni Multi purpose for all crops
-Shamba lina miti ya Mitiki, Eucalyptus, Giricida n.k
*Uzuri wa Shamba unaweza kufunga Nyuki pia kwa ajili ya asali Kuna Msitu wa asili*
-Shamba lina Godowns na Nyumba ya Wafanyakazi na Meneja
-Shamba lina Visima 2 vya maji
-Plot size 1,137 acres
-Document: Title Deed
*Bei kwa kila ekari ni shilingi milioni 15*