Apartment zipo gorofa mbili moja ina vyumba 20 ambazo ni hostel kila chumba kila vitanda vinne na jengo la pili ni kwa ajili ya family ina sebule mbili,jiko, vyumba vitatu vya kulala vyote master. tv,cctv camera,ac,sofaset, maji, umeme, friji kila kitu yani ni kuhamia.kwa picha zaidi watsapp click number yangu kisha save