Inauzwa: Royal Tour Lodge ipo Mkonze, Dodoma karibu na SGR. **Inafanya kazi kwa sasa**! Jengo hili multipurpose linafaa kwa lodge, Kliniki, NGO, au hosteli ya wafanyakazi/wanafunzi , Law Firm and Auditing Firm, Emmbassy project na n.k
Ina vyumba 18, reception, restaurant, jiko kubwa, duka la rejareja, na parking kubwa. Miundombinu imara: kisima kirefu (mita 150), tank tower, na matanki makubwa 3. Eneo lina ukuta, geti, na ulinzi thabiti. Fursa nzuri pia kwa wenye hoteli kubwa kufungua tawi Dodoma.
`