Nyumba ilipitiwa na ujenzi wa barabara, imebakia sehem kama unavyoiyona, unaweza ukatoa Nyumba ya vyumba 4, na sehem ipo pembeni ktk usawa wa huo mti mwisho wa mpka! bei ni ndogo na panda lipo barabarani. kama unapesa yako unainua nyumba na kupangisha au kukaa mwenyewe.