Eneo la kilimo cha umwagiliaji na masika kwa kila heka inakodishwa kwa tshs milioni mbili kwa msimu mmoja, gharama za kilimo ni inahusika kampuni ya wachina, ukilipia milioni mbili, wewe unaenda kuvuna mpunga tu, kwa heka moja unavuna gunia 55 kwa msimu mmoja tu. Heka zipo zaidi ya elfu kumi.