Eneo hili linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na kilimo cha kawaida, lipo jirani na mto ruvu, kukodi heka moja kwa msimu mmoja ni tshs milioni mbili tu, Gharama za kilimo inahusika kampuni ya wachina, heka moja unavuna mugunia ya mpunga 55_65 kwa msimu mmoja tu.