Ruvu mtoni heka moja inakodishwa milioni mbili ya kilimo cha mpunga, gharama za kilimo inahusika kampuni ya wachina, ukubwa wa eneo hilo ni zaidi ya heka elfu kumi. ukikodi heka moja kwa tshs milioni mbili, baada ya msimu mmoja unavuna magunia ya mpunga 55 hadi 65 nk.