Nyumba inauzwa ipo ukonga kivule felemu kumi.ina bedroom tatu za kulala, sitting room, kitchen, public toilets,kuna nyumba ndogo uwani ina vyumba viwili sebure, nyumba ipo mtaa mzuli sana... basi moja kutoka mjini mnazi mmoja mpka ktk nyumba nauli 800 tu. Wahi nyumba hii ya kuingia tu... kiwanja chake sqm 550.