Nyumba inapangishwa kwa laki nne na nusu kwa mwezi, ina vyumba vinne vya kulala kimoja masta, jiko, stoo, sebule, daining, paking ya gari sita, pia kuna kisima cha maji chenye urefu wa mita 85 cha kudrili na mashine. Maji yamekonekitiwa nyumba nzima.