Apartment zinauzwa mwembe mtengu toangoma kigamboni jijini Dar es salaam
Apartment zipo kwenye mijengo mi tano.Mijengo mi tatu kati ya hiyo mitano kuna vyumba vi wili, sitting room, na jiko kila jengo.
Jengo la nne kuna vyumba vi tatu, sitting room, dining room na jiko.
jenga la 5 kuna chumba sebule na jiko.
vyumba vyote ni master bedroom.
Bei yake sasa shillingi milioni 200,000,000/ Badala ya shilingi milioni 260 bei ya awali
kwa maelezo zaidi nipigie kwenye namba zangu