Uwezi kuiyacha kabisa kama utakuwa upo serious
Nyumba nzuri sana ipo mbagala chamanz shule msingi
Ina uzwa bei raisi sana tsh million 26 tu nyumba nzuri sana ina vyumba vnne vya kulala kimoja master bedroom
Ina sitting room na jiko na public toilet pamoja na maji na umeme eneo square meter 300
Ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa
Ukitaji kuiyona nipigie cm au nichek