Hii nyumba kalli sana ipo mbagala chamanz ina uzwa tsh mil 48 tu
nyumba ni nzuri sana kubwa ina vyumba vnne vya kulala vyumba viwili ni master bedroom
ina sitting room na daining room na jiko na store ina public toilet ina maji na umeme
eneo square meter 400
ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa
njoo uone tumalize biashara faster mdau wangu nyumba kalli sana
kutoka bara bara kuu ya rami kuja kwenye hii nyumba ni dakika 6 tu kwa mwendo wa miguu
ukitaji kuiyona nipigie cm au nichek whatsapp