Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa!
bei: milioni 110,000,000/= (mazungumzo yapo)
sifa muhimu za nyumba:
• vyumba 4 vya kulala (3 ni master bedroom)
• sebule kubwa yenye muonekano mzuri
• jiko la kisasa lenye makabati ya ndani
• vyoo 2 vya kisasa (public & master)
• maegesho ya magari zaidi ya 4
. imezungushiwa ukuta na ina gate imara
. umeme na maji muda wote
mahali: maji matitu mbagala, dar es salaam
• dakika chache kutoka barabara kuu
• mazingira tulivu na salama kwa familia
• nyumba ni mpya – haijawahi kutumika
• karibu na shule, vituo vya afya, maduka na huduma muhimu.