Hii nzuri sana wadau wangu njoo uone nyumba kalli sana mpya kabisa
nyumba ipo mbagala chamanz mzambalauni ina uzwa tsh mil 75 tu
nyumba ina vyumba vnne vya kulala vyumba viwili ni master bedroom
ina sitting room na daining room na jiko na store ina public toilet pamoja na maji na umeme
ina fence full gali 4 zina ingia ndani pia ina full fence ulizi wa short
kutoka bara bara kuu ya rami kuja kwenye hii nyumba ni dakika 6 tu
ukitaji kuiyona nipigie