Hii si ya kuikosa kabisa mdau wangu ipo mbagala chamanz
mzambalauni la dsm wilaya ya temeke ina uzwa
eneo square meter 800
ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa
vyumba vinne vya kulala vyumba viwili ni master bedroom ina sitting room na daining room na jiko na store
ina public toilet pamoja na maji na umeme
kutoka bara bara kuu ya rami kuja kwenye hii nyumba ni dakika 3 tu
ukitaji kuiyona nipigie cm au nichek whatsapp