Ina uzwa tsh mil 65 tu ipo mbagala chamanz dovyo jiji la dsm wilaya ya temeke jimbo la mbagala kata ya chamanz mtaa wa dovya
eneo square meter 400
ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa
vyumba vitatu vya kulala vyumba vyote ni master bedroom ina sitting room na daining room na jiko na store ina public toilet ina maji na umeme
njoo uone nyumba hii nzuri sana ipo jilani kabisa na bara bara kuu ya rami