Tajiri njoo uchukue hii nyumba, haina kipengele chochote, labda uje nacho mwenyewe. ni nyumba nzuri ya kisasa kwa bei ya milioni 90 tu.
location: chamazi temeke, dar es salaam. whatsapp)
sifa za nyumba:
nyumba ina vyumba 3 vya kulala (1master bedroom)
sebule kubwa sana
dining room (sehemu ya kulia chakula)
jiko na store yake
choo cha public
umeme upo
maji yaapo
tiles, paving block, alluminium window
electricity fence, parking ya kutosha.
mita 500 toka barabara ya lami.