Nyumba inauzwa – mbagala rangi tatu kokoto, dar es slaam
bei: milioni 58 tzs (tu!)
eneo: mbagala rangi tatu kokoto wilaya ya temeke, dar es salaam
ukubwa wa kiwanja: 550 sqm
ipo umbali wa mita 60 tu kutoka barabara kuu ya lami.
sifa za nyumba:
nyumba ina fremu nne za biashara na zinafanya vizuri. nyumba ina vyumba 2 vya kulala (kimoja ni master bedroom),
sitting room, dining room, jiko la ndani
public toilet, maji yapo, umeme wa luku n.k