Jengo zuri sana la gorofa linauzwa na benki
location: yombo temeke dar es salaam
bei tsh milion 450 negotiable
ukubwa wa eneo sqm 500
umiliki:hati kamili ya wizara
jengo lina apartment 8
kila apartment moja ina vyumba 2 vya kulala
chumba kimoja master
sitting room
dinning room
kitchen
public toilet
gharama ya kupelekwa site kuoneshwa nyumba ni tsh 30000/=
piga simu kwa maelezo zaidi