NYUMBA INAUZWA – MWAHAKO, TANGA
Eneo: Mwahako, Tanga – karibu na Bright English Medium School.
Sifa za nyumba:
- Vyumba 5 vya kulala
- Vyumba 4 ni master (vina choo na bafu ndani)
- Maji ya bomba yanapatikana
- Umeme upo
- Eneo tulivu na rahisi kufikika
- Inafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji
Bei: TSh 60,000,000 (mazungumzo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya kweli).
Wasiliana na mmiliki:
-
-
Video ya nyumba inapatikana. Wasiliana kwa maelezo zaidi au kupanga kuja kuiona.