Apartment mbili ndani ya eneo moja zinauzwa na bank na mwenyewe ameridhia, hakuna mgogoro. ziko tabata kisukulu karibu na maji chumvi, si mbali na barabara ya zege itokayo kimara korogwe
area: sqm 438
price : mil 150
umiliki : hati
sifa zake-:
-kila apartment ina vyumba vitatu vya kulala
-vyumba viwili ni master
-jiko na store
-sebule
-choo cha public
-kisima cha maji
-ndani ya fence
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta
kujiunga na group let la whatsapp gusa hii link: