Nyumba ya Gorofa moja inauzwa tabata segerea viwanja vya bank,ina vyumba vitano vya kulala,sitting room,dining,kitchen public toilet.vyumba vitatu ktk ivyo vitano ni self Containing, A/C nyumba ipo umbali wa mita 150 kutoka barabara ya Rami,kiwanja chake sqm 1000. Doccument Title did... Garama ya kwenda kuangalia nyumba Servicr charge tsh /=