Nyumba nzuri ya kisasa inauzwa binafsi
ipo pugu kajiungeni dar-es-salaam-tz
bei milioni 140 maongezi yapo
vyumba vitatu vya kulala kimoja self
sitting room
dining room
◇ kitchen
◇ store
public toilet
ukubwa wa kiwanja: sqmt 1000
umiliki mkataba wa mauziano ya serikali za mitaa
kiwanja kimepimwa hati miliki itatoka kwa jina la mteja atakae nunua
◇ maji safi dawasco umeme vyote vipo kwenye nyumba
◇nyumba ipo mtaa mzuri sana majirani wamepangika vyema sana
service charge elf 30
tupigie +
kujiunga na group letu la whatsapp bonyeza