Nyumba Inauzwa milioni 140 Ipo Pugu Kajiungeni Manispaa ya Ilala Dar es salaam. Vyumba 3 Sitting room Chumba kimoja master Jiko Dining room na public Toilet. Nyumba Ina tiles na jypsum. Pia Nyumba Ina maji safi na umeme. Kiwanja sqm. 1000 Hati ya mauziano ya ofisi ya serikali ya mtaa.
◇PLEASE CALL