Pagale jipya zuri sana linauzwa pugu kwa selemala, liko umbali wa mita 600 toka main road
price: mil 15.5
area: sqm 300
umiliki: mkataba wa mauziano.
sifa :-
-vyumba viwili vya kulala, vyote ni master
-sebule kubwa
-jiko
-choo cha public
hiiii sio ya kuikosa kabisaaaa. gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30. tu
contacts:
call&sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
insta