Hii nyumba inauzwa.ni nyuma ya familia na hati ya mauziano ni ya serikali ya mtaa.ipo sehemu nzuri na kwenye barabara kubwa ya mtaa.umeme upo,maji ni kuvuta tu mana bomba zimepita mbele,na unaweza jenga flemu mbele hata 6 mana ipo barabarani kabisa.kutoka lami ni km 1.5.eneo lake ni squere mita 800.bei ni ml 45 maongezi yapo kwa aliye serious.haina dalali ukipiga simu utaongea na mwenye nyumba direct.