NYUMBA INAUZWA PASIANSI
-zipo nyumba mbili ndani ya fensi
-nyumba ya kwanza (1) ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja ni self contained, sebule, dinning roo, jiko na public toilet [ inapangishwa Tsh Ml 4 kwa mwaka ]
-nyumba ya pili (2) ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja ni self contained, sebule, jiko, dinning room na public toilet { Inapangishwa Tsh Mil 2 kwa mwaka }
-ukubwa wa kiwanja ni Sqm 450
-ina hati miliki mkononi
-bei ni Tsh Ml 90
-mazungumzo yapo
-umbali toka barabara ya lami ni mita 200 tu
call/sms/whatsapp