Nyumba kubwa inauzwa zipo 3 ndani ya compound moja sqm 720 pasiasi,mwanza tshs 250 mil (maongezi yapo mengi) soma maelezo
barabara ya kulekea airport
hatua chache kutoka barabara kuu ya kulekea airport au mjini nyuma ya kanisa la k.k.k.t
ukubwa sqm 720
ina fensi kubwa
ndani zipo nyumba 3
nyumba mbili zina mita moja ya maji
zinajitegemea umeme nyumba zote
nyumba ya kwanza
ina chumba master kubwa kabisa
vyumba viwili vya kulala
vyoo vya public viwili
majiko mawili moja ndani la lingine katika corridor ya kuingia ndani
dining room kubwa kabisa
sebule kubwa sana
nyumba mbili zingine 2
ni chumba master
jiko
sebule
choo cha public
ina eneo kubwa limebaki
garden space kubwa unayoweza hata kujenga frame 3 za maduka