Nyumba mbili kwa pamoja zinauzwa nyashishi center
- nyumba ya kwanza ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja ni self contained, sebule, dinning room, jiko, store na public toilet
- nyumba ya pili ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja ni self contained, sebule, jiko, dinning room na public toilet
- pia kuna reserve water tank na public toilet ya njee
- ukubwa wa eneo ni 45×25 ( pamepimwa )
- bei ml 85
- umbali toka barabara ya lami ni mita 300 tu
call/sms/whatsapp
instagram : rickrealestatetz