*Shamba lenye mifumo ya umwagiliaji la Ekari 26 linauzwa Kijiji Cha Njoomlole - Njombe*
*Distance* Kutoka Barabara ya Njombe-Ludewa ni 5KM
-Shamba lina jumla ya Ekari 26 ambapo *Ekari 16 Parachichi* na Ekari 10 zimelimwa *Mahindi na Apple*
-Shamba lina Miche ya *Parachichi 540* yenye umri wa miaka 3
-Shamba lina Miche ya *Apple 320* yenye miaka 2
-Shamba lina nyumba ya mlinzi.
-Shamba lina mfumo wa maji ya kumwagilia ya Pampu inayovuta Kutoka Mtoni kutumia Generator.
-Ndani ya Shamba umepita Mto Limbagwa
-Document: Mkataba wa Serikali ya Kijiji *(Surveyed)*
*Bei shillingi milioni 150 maongezi yapo*