*Bwawa la Ekari 14 la Kufugia Samaki linauzwa Njombe*
127km kutoka Njombe mjini, lipo 1km kufikia mpaka wa eneo la Iron Ore - Liganga, Ludewa
Eneo lina Samaki aina ya Kambale na Perege wana zaidi ya miaka 8.
Eneo halijawahi kutumika kuvua kibiashara limetumika kuvua Samaki wa matumizi ya nyumbani
*Plot size Ekari 64 ambapo Ekari 14 ndio zimejengewa Bwawa lenye maji.*
Eneo lina nafasi ya kuongeza zaidi ya Mabwawa 10 madogo madogo
*Bei shilingi milioni 500 maongezi yapo*
zain