Nyumba yenye eneo lenye ukubwa wa heka moja na nusu pamoja na shamba la mananasi vinauzwa vyote kwa pamoja
bei milioni 45 pia unaweza kulipa kwa awamu kwa makubaliano kimfaacho mtu chake
ipo mwavi balabala ya msata
ipo kalibu na lami kuu ya msata road
nyumba ina vyumba vitatu vya kulala chumba kimoja ni #master#public#toilet#sebule#kubwa#sana#jiko#kubwa#nk... na kuna shamba kubwa la mananasi kwa nyuma ambayo yanasubiliwa kuvunwa na mnunuzi mpya
hakuna migogoro yoyote wala changamoto yoyote documents zipo zilizonyooka
naongea na mmiliki moja kwa moja
hii ni sadakalawe na sio ya kuacha kabisa
#cal071XXXXXXX