Ni kiwanja kikubwa Eka na nusu hivi,kikipakana na na barabara ya kuu Tanzania-Zambia Rd, kinafaa kwa yard,petro station nk., hati ya mauziano lakini kimepimwa ktk urasimishaji, utaenda kuchukua hati kwa jina lako, bei ni 15,000,000. Umeme upo hapo Simu076XXXXXXX