Eneo kubwa la kisasa kuna acre 10 za pamoja mlandizi kibaha umbali kilomita 2 .5 tu kutoka mjini Eneo ni bora kabisa kwa makazi eneo linafaa kujenga shule kujenga kiwanda kujenga hospital kubwa kujenga kanisa na kufuga Eneo lina umeme mkubwa ndani kuna migomba zaidi ya 200 mikorosho zaidi ya 50 shamba safi kuna nyumba ndogo ya mfanyakaza kwa mteja wa kwanza tutampa bwawa la acre moja linahitaji maboresho madogo tu Eneo unaweza kupima mpaka viwanja na makazi pia
Bei milion 280
Eneo lipo mjini kabisa