Eneo la kiwanda (industrial plot) linauzwa binafsi mkuranga mjini
loc : mkuranga mjini, mkoa wa pwani
area : heka 6
price : mil 500 mazungumzo mezani
umiliki : hati
eneo linatizama barabara kuu ya kisiju... nyuma linapita bomba la gas... eneo zuri sana kwa uwekezaji maeneo yote ya jirani ni viwanda vikubwa
_________________________________________
cont.
call whatsapp &sms + kwenda whatsap moja kwa moja bonyeza>>
email:
insta
fb joshua
__________________________________________________________________
.
.
huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh 30,000 haihusishi usafiri
____________________________________________
tunajishughulisha na uuzaji na upangishaji wa nyumba, mashamba, viwanja, maeneo ya biashara nk, vya binafsi na minada mbalimbali,, pia tunafanya kazi ya kudai madeni sugu kwa niaba ya taasisi za fedha,, kuuza mali kwa minada,,