Stand_alone inapangishwa
iko ~ dar es salaam-tz
mahali - mbweni ubungo
kodi ~ tsh 1,500,000/=
kwa mwezi
nyumba ya familia
yenye sifa zifuatazo
vyumba vitatu vyote self contained
sebule kubwa pamoja na dinning
jiko zuri la kisasa lenye space pamoja na makabati
air condition , pamoja na feni
makabati vyumbani
jiko lenye makabati ya kisasa
washing machine , standby-generetor
maji ya kisima , maji ya dawasco
jiko la nje, store
choo cha nje
electricity fanced
garden nzuri yenye kuvutia
cctv camera
bila kusahau ukilipia nyumba kuna malipo ya mwezi ya dalali