*Eneo lenye jengo la kanisa la Ekari 1 linauzwa Boko- Dovya*
Eneo limegusa lami ya kwenda kwa Mbweni JKT Block 8
Ndani ya eneo Kuna jengo la kanisa linaingiza watu zaidi (Plastic chairs watu 550) Sponge chairs watu 700) limekamilika pamoja public toilet za waumini.
Jengo lenye Ofisi ya Mchungaji master ina vyumba v2 kama studio), Ofisi ya wasaidizi, Reception (Watu 30), Ukumbi mikutano unaingiza watu 70.
Vyumba viwili havijaisha, kimoja Sunday School
Plot size Sqms 4,513
Document: Title Deed
*Bei shilingi Bilioni 1.2 maongezi yapo*
zain