*eneo zuri sana linatazama barabara kuu linauzwa binafsi*
lipo tunduma mpakani mwa tanzania na zambia (very potential area)
eneo linatizama barabara kuu ya mbeya-tunduma-zambia.
panafaa sana kufanya yard, icd, nk
ukubwa acre 40, kuna takribani ekari 6 zilizozungushiwa fensi, umeme three phase upo.
*document za umiliki - hati safi*
*bei shilingi
kama utahitaji eneo nusu gharama za kuvunja hati iliyopo ni za mteja
wasiliana nasi +
kujiunga na group letu la whatsapp bonyeza