Shinda Mnada Wa Hii Nyumba, Vuna Mil 7.2 Kila Mwaka
.
• Direction:
> Kibanda cha Mkaa. Mita 150 kutoka Morogoro Road
• Condition
> iko ktk hali nzuri; inauzwa bila samani za ndani; ina wapangaji
• Features:
> -ina apartments 4 za chumba na sebule; vyoo na bafu nje
> -Kila apartment kwa mwezi inapangishwa Sh 150,000.
> Hivyo kwa mwaka 150k x 4 x 12 = 7.2 milioni
• Facilities:
> umeme, maji matamu ya bomba, tenki la maji, parking
• Plot Area:
> sqm 600
• Document:
> mkataba wa mauziano
• Ideal:
> inafaa kwa makazi binafsi au biashara ya kupangisha
• Bid Start Price:
> TZS milioni 50 (imekaza)
• Agent Fee:
> malipo ya kamisheni ya dalali yatatozwa
.
#InRealEstateWeConnect