Dar, mbezi: hii nyumba ipo location inayofaa sana kwa biashara ya kupangisha
» luguruni. km 1.5 kutoka morogoro road (st joseph university) na km 1 kutoka dsm girls sec school, pia jirani na ofisi za mkuu wa wilaya
» vyumba 5 (masta 2); sitting 2; dinning; jiko; stoo na public w/c ya ndani na nje.
» uzio, yard ya maegesho, paving, maji ya dawasa na kisima kirefu, mota na pampu ya maji, tenki 2 za maji ya akiba
» inafaa kwa makazi binafsi, hosteli ya wanafunzi au kupangisha watumishi
» kiwanja sqm 1082
» hati ya wizara
» bei tzs milioni 250
#inrealestateweconnect