Nyumba ina vyumba 4 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani, nyumba ipo ndani ya fensi na gari inafika mpaka hapo, ipo umbali wa km3 kutoka morogoro road, umeme upo tayari na maji yapo jiarani tu bado kuvuta, KARIBU SANA MAONGEZI YAPO