*nyumba inauzwa binafsi*
ipo mbezi mwisho mazulu manispaa ya ubungo dar
ina vyumba vinne (4) viwil ni self contained, dinning, sitting, kitchen & public toilet
umiliki: hati miliki (title deed)
ukubwa wa eneo: sqm 400
umbali: dk kumi (10) kutoka barabara ya lami goba road
nyumba ina mpangaji ana lipa 500k kwa mwezi
maji ya dawasco na umeme vyote vipo
bei : 120 million (maongezi yapo)
gharama za kwenda site ni tshs 30,000
karibu
tupigie +
kujiunga na group letu la whatsap bonyeza hapa