*nyumba nzuri sana inauzwa binafsi*
ipo mbezi ya kimara msumi manispaa ya ubungo dar
ina vyumba vinne (4) kimoja self, dinning, sitting, kitchen & public toilet
umiliki: mauziano ya serikali ya mtaa (sales agreement)
ukubwa wa eneo: sqm 600
umbali: meter 100 kutoka barabara kuu
maji ya dawasco na umeme vyote vipo
bei : 85 million (maongezi yapo)
gharama za kwenda site ni tshs 30,000/=
kujiunga na group letu la whatsapp bonyeza hapa