Gorofa nzuri ya kisasa inauzwa milioni 350 maongezi yapo ipo sala sala kwa (general waitara) - dar es salaam - tanzania
ina vyumba vinne vya kulala kati hivyo vyumba vitatu ni self contenad
◇master bedroom
sitting room
dining room
◇ kitchen
◇store
public toilet
ukubwa wa kiwanja: sqmt 1000
◇document clean title deed (hati miliki kutoka wizara ya aridhi)
◇umbali ni mita 100 tu kutoka barabara kuu ya lami maji safi dawasco umeme vyote vipo ndani ya nyumba
◇please call