Nyumba mbili kwenye fence moja zinauzwa bei poa sana.(za biashara).
location: mbezi mwisho si mbali na magufuli terminal
bei tsh milion 120 maongezi yapo
ukubwa wa eneo sqm 600
umiliki:mauziano ya serikali ya mtaa
nyumba ya kwanza;-
ina vyumba 3 vya kulala
vyumba 2 self
sitting room
kitchen
public toilet
maji yapo dawasco
umeme upo
fenced and gate
nyumba ndogo ghorofa ina 2 bedrooms
1 self bedroom
sitting room
kitchen
public toilet
pia tunazo nyumba za biashara zinazo uzwa bei poa maeneo ya karibu na mjini za milioni 40,50,70,80