Hapa kuna nyumba 2 ndani ya fence moja ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na piblic toilet ndani. Hii ya ghorofa ina vyumba 2 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet ndani. Nyumba ipo mtaa mzuri na inafikika kwa urahisi kwa usafiri wowote pia ni dakika 10 kwa miguu kutoka magufuli stand. Karibu sana