Nyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, dinning, jiko na public toilet ndani. Ipo ndani ya fence iliyokamilika na ina parking ya kutosha, nyuma ina nafasi kama unavyoiona na migomba, pia mbele kuna frame ya duka na ndani kuna paving blocks zimeizunguka nyumba nzima. Karibu sana MAONGEZI KIDOGO YAPO