Nyumba ina vyumba 3 vya kulala kimoja ni master, sebule, jiko na public toilet. Fence ipo bado geti tu. Umeme na maji Dawasa vyote vipo, pia huduma za kijamii zote zinapatikana, ipo umbali wa 1.5km, pikipiki Tsh1,000. Karibu sana MAONGEZI KIDOGO YAPO