Nyumba inauzwa binafsi
loc : mbezi ya kimara msumi area, manispaa ya ubungo dar
area : sqm 420
price : mil 59
umilik: mkataba wa mauziano wa serikali ya mtaa
_______________________
.
.
sifa:-
.
-3bedrooms 1 self
-kitchen
-dinning
-sitting room
-public toilet
huduma zote zipo... gharama ya kupelekwa site ni sh elf 30... zingatia gharama hii haihusishi usafiri.
_______________________
mahitaji yako ya nyumba / vyumba/maeneo ya biashara ... ya kupanga na kununua... mashamba/viwanja/ magari nk ... usisite wasiliana nasi haraka