#apartment_inapangishwa mbezi mwisho njia ya goba
.
.
ina vyumba viwili vya kulala, kimojawapo ni master bedroom,sebule,jiko na choo cha familia
.
.
.
.
nyumba ipo mbezi mwisho njia ya goba umbali wa kilometa 1.5 kutoka morogoro road
.
.
nyumba ipo ndani ya fensi na zipo tatu kwenye compound moja na ipo kwenye mazingira mazuri sana
.
.
kila apartment inajitegemea kila kitu yaani maji na umeme na pia maji yanaflow ndani